Wachezaji wa Manchester City wakifurahia na taji lao la Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup baada ya ushindi wa penalti 4-3 kufuatia sare ya 0-0 ndani ya dakika ya 120 katika fainali nzuri iliyofanyika Uwanja wa Wembley usiku wa jana. Waliofunga penalti za Manchester City ni İlkay Gundogan, Sergio Aguero, Bernardo Silva na Raheem Sterling, wakati Leroy Sane pekee alikosa huku za Chelsea zikifungwa na Azpilicueta, Emerson na Edin Hazard huku Jorginho na David Luiz wakikosa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trossard revels in ‘joy’ of late Arsenal win at West Ham
-
Leandro Trossard has said the overriding feeling is ‘joy’ after scoring a
crucial winner for Arsenal at West Ham.Trossard fired home with seven
minutes rem...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment