Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford (kushoto) akiwatoka wachezaji wa Liverpool Sadio Mane na Virgil van Dijk katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester timu hizo zikitoak sare ya bila kufungana. Liverpool inafikisha pointi 66 katika mechi ya 27 ikiendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi moja tu sasa zaidi ya mabingwa watetezi, Manchester City, wakati United inafikisha pointi 52 baada ya kucheza mechi 27 ikishuka kwa nafasi moja hadi ya tano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How a hidden detail about the Tasmanian Devils' divisive new jersey will
shock footy fans
-
There is good news for Tasmanian Devils supporters who were critical of the
launch of the new AFL club's first guernsey this week.
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment