• HABARI MPYA

    Wednesday, February 20, 2019

    MILLER AMSUKUMA JOSHUA KWENYE MKUTANO NA WAANDISHI

    Bondia Jarrell Miller (kulia) akimsukuma Anthony Joshua mwanzoni mwa mkutano na Waandishi wa Habari jana mjini New York, Marekani kuelekea pambano lao la ubingwa wa dunia uzito wa juu Juni 1, mwaka huu ukumbi wa Madison Square Garden 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MILLER AMSUKUMA JOSHUA KWENYE MKUTANO NA WAANDISHI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top