• HABARI MPYA

    Thursday, February 21, 2019

    ATLETICO MADRID YAMZIMA RONALDO, YAICHAPA JUVENTUS 2-0

    Mshambuliaji wa Juventus, Cristiano Ronaldo (kulia) akitafuta namna ya kumpita kiungo wa Atletico Madrid, Saul katika wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid, Hispania. Atletico Madrid walishinda 2-0, mabao ya  Jose Gimenez dakika ya 78 na Diego Godin dakika ya 83 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ATLETICO MADRID YAMZIMA RONALDO, YAICHAPA JUVENTUS 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top