Refa Guillermo Cuadra akimuonyesha kadi nyekundu Nahodha wa Real Madrid, Sergio Ramos dakika ya 90 kufuatia kumuonyesha kadi ya pili ya njano katika mchezo wa La Liga dhidi ya Girona leo Uwanja w Bernabeu. Girona wameshinda 2-1, mabao yao yakifungwa na Cristhian Stuani kwa penalti dakika ya 65 baada ya Ramos kunawa mpira na Portu dakika ya 75, wakati la Real Madrid limefungwa na Casemiro dakika ya 25. Real Madrid inayobaki na pointi zake 45, sasa inazidiwa pointi 10 na Barcelona wanaongoza La Liga na pointi mbili na Atletico Madird wanaofuatia baada ya wote kucheza mechi 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brighton star scores outrageous overhead kick in stoppage time to rescue
late 1-1 draw against Bournemouth
-
NICK SZCZEPANIK AT THE AMEX: Charalampos Kostoulas pulled off an audacious
overhead kick to level Brighton's clash with Bournemouth in dramatic
fashion.
33 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment