Refa Guillermo Cuadra akimuonyesha kadi nyekundu Nahodha wa Real Madrid, Sergio Ramos dakika ya 90 kufuatia kumuonyesha kadi ya pili ya njano katika mchezo wa La Liga dhidi ya Girona leo Uwanja w Bernabeu. Girona wameshinda 2-1, mabao yao yakifungwa na Cristhian Stuani kwa penalti dakika ya 65 baada ya Ramos kunawa mpira na Portu dakika ya 75, wakati la Real Madrid limefungwa na Casemiro dakika ya 25. Real Madrid inayobaki na pointi zake 45, sasa inazidiwa pointi 10 na Barcelona wanaongoza La Liga na pointi mbili na Atletico Madird wanaofuatia baada ya wote kucheza mechi 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment