Refa Guillermo Cuadra akimuonyesha kadi nyekundu Nahodha wa Real Madrid, Sergio Ramos dakika ya 90 kufuatia kumuonyesha kadi ya pili ya njano katika mchezo wa La Liga dhidi ya Girona leo Uwanja w Bernabeu. Girona wameshinda 2-1, mabao yao yakifungwa na Cristhian Stuani kwa penalti dakika ya 65 baada ya Ramos kunawa mpira na Portu dakika ya 75, wakati la Real Madrid limefungwa na Casemiro dakika ya 25. Real Madrid inayobaki na pointi zake 45, sasa inazidiwa pointi 10 na Barcelona wanaongoza La Liga na pointi mbili na Atletico Madird wanaofuatia baada ya wote kucheza mechi 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Fans Troll Warriors for Fall Behind Lakers in Playoff Standings with
Knicks Loss
-
NBA fans on X had fun at the Golden State Warriors' expense Monday night,
as a 119-112 home loss to the New York Knicks dropped them back down to the
No. 10…
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment