Winga Mjerumani, Leroy Sane akipongezwa na wachezaji wenzake, David Silva na Phil Foden baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 51 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Newport County kwenye mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Rodney Parade mjini Newport. Mabao mengine ya Manchester City yamefungwa na Foden mawili dakika ya 75 na 89 na Riyad Mahrez dakika ya 90 na ushei, wakati la Newport limefungwa na Padraig Amond dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Everton learn date of hearing for second breach of Premier League spending
rules as commission faces race against time to meet deadline... with the
Toffees resigned to ANOTHER points deduction
-
EXCLUSIVE BY MATT HUGHES: The Premier League have committed to announcing a
verdict on Everton's second charge of breaking Profit and Sustainability
Rules ...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment