• HABARI MPYA

    Sunday, February 17, 2019

    MAN CITY YASHINDA 4-1 UGENINI KOMBE LA FA ENGLAND

    Winga Mjerumani, Leroy Sane akipongezwa na wachezaji wenzake, David Silva na Phil Foden baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 51 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Newport County kwenye mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Rodney Parade mjini Newport. Mabao mengine ya Manchester City yamefungwa na Foden mawili dakika ya 75 na 89 na Riyad Mahrez dakika ya 90 na ushei, wakati la Newport limefungwa na Padraig Amond dakika ya 88 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY YASHINDA 4-1 UGENINI KOMBE LA FA ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top