Mshambuliaji Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia hat-trick Barcelona kwa mabao yake ya dakika za 26, 67 na 85 mara mbili ikitoak nyuma na kushinda 4-2 dhidi ya Sevilla kwenye mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan mjini Sevilla. Bao la nne limefungwa na Luis Suarez dakika ya 90 na ushei, wakati ya Sevilla yamefungwa na Jesús Navas dakika ya 22 na Gabriel Ivan Mercado dakika ya 42 na kwa ushindi huo, Barcelona inafikisha pointi 57 baada ya kucheza mechi 25, ikiizi kwa pointi 10 Atlético Madrid inayofuatia nafasi ya pili mbele ya Real Madrid yenye pointi 45 za mechi 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside the crisis of stalking and harassment in women's football: Stars
inundated with abuse and sexual messages, players fearing for their safety
in the street and how clubs are turning to AI to solve the problem
-
Earlier this week, Liverpool's Marie Hobinger described how 42-year-old
businessman Mangal Dalal's incessant and sexualised messaging on social
media corru...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment