Mshambuliaji Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia hat-trick Barcelona kwa mabao yake ya dakika za 26, 67 na 85 mara mbili ikitoak nyuma na kushinda 4-2 dhidi ya Sevilla kwenye mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan mjini Sevilla. Bao la nne limefungwa na Luis Suarez dakika ya 90 na ushei, wakati ya Sevilla yamefungwa na Jesús Navas dakika ya 22 na Gabriel Ivan Mercado dakika ya 42 na kwa ushindi huo, Barcelona inafikisha pointi 57 baada ya kucheza mechi 25, ikiizi kwa pointi 10 Atlético Madrid inayofuatia nafasi ya pili mbele ya Real Madrid yenye pointi 45 za mechi 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal pass their most difficult test after breathless VAR drama: OLIVER
HOLT on the moment that could define the season, how the Gunners nearly
lost their heads and what Pep Guardiola would have made of it all
-
OLIVER HOLT AT THE LONDON STADIUM: On Saturday night, Pep Guardiola had
raised his arms and crossed one wrist in front of the other in the symbol
of West H...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment