Nyota wa Arsenal, Alexis Sanchez akifanya mazoezi kwa bidii baada ya kujiunga na timu yake hiyo leo kufuatia mapumziko marefu zaidi aliyopewa tofauti na wenzake baada ya kuwa amekwenda kuiongoza timu yake ya taifa, Chile kwenye michuano ya Kombe la Mabara Juni mwaka huu, ambako ilishika nafasi ya pili baada ya kufungwa 1-0 na Ujerumani katika fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Man United star, 37, rolls back the years with stunning free-kick -
as Bruno Fernandes and Harry Maguire share wholesome celebration
-
He already had three goals and 10 assists to his name in just 20 league
games this season, yet he stepped up again in one of Victory's biggest
games of the...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment