Nyota wa Arsenal, Alexis Sanchez akifanya mazoezi kwa bidii baada ya kujiunga na timu yake hiyo leo kufuatia mapumziko marefu zaidi aliyopewa tofauti na wenzake baada ya kuwa amekwenda kuiongoza timu yake ya taifa, Chile kwenye michuano ya Kombe la Mabara Juni mwaka huu, ambako ilishika nafasi ya pili baada ya kufungwa 1-0 na Ujerumani katika fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Naomi Osaka sends tennis fans wild at Australian Open with 'jellyfish'
outfit designed by London-based stylist who dresses Beyonce
-
Naomi Osaka has sent the tennis world into meltdown after her sensational
entrance for her first round match against Antoia Ruzic at the Australian
Open on...
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment