Mbunge wa Newala kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Kapteni Mstaafu, George Huruma Mkuchika (kulia) ambaye pia ni Mwenyekiti Kamati ya Maadili na Madaraka ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akifuatilia mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kati ya timu yake anayoipenda, Yanga SC dhidi ya Lipuli FC ya Iringa leo Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Kushoto ni Katibu wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa
Mashabiki wa Yanga wakifuatilia mchezo wa leo ambao ulimalizika kwa sare ya 1-1
'Precious' Lisandro Martinez is told to 'f****g' grow up by Nicky Butt
after Man United star hit back at his and Paul Scholes' 'shameful' comments
as club legends send warning to Argentina defender
-
Scholes and Butt joked ahead of United's derby win that Martinez's battle
with Erling Haaland was such a mismatch that the Man City striker would
pick up t...
15 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment