Lucas Vazquez wa Real Madrid akivuta mpira dhidi ya wachezaji wa Valencia katika mchezo wa La Liga jana Uwanja Bernabeu timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Real Madrid yalifungwa na Marco Asensio dakika ya 10 na 83, wakati ya Valencia yamefungwa na Carlos Salor dakika ya 18 na Geoffrey Kondogbia dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rasmus Hojlund admits he was 'bothered' by criticism during Man United goal
drought in the Premier League... and claims it was 'great to shut people
up' as he accuses critics of jealousy
-
The Dane went 14 games without a Premier League goal after joining from
Atalanta for £72million, despite scoring five goals in the Champions League
group s...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment