Kiungo Alex Oxlade-Chamberlain akitabasamu na jezi ya klabu yake mpya, Liverpool baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 35 kutoka kwa wapinzani wa Ligi Kuu ya England, Arsenal. Nyota huyo wa England sasa atakuwa analipwa mshahara wa Pauni 120,000 kwa wiki na kwa usajili huu Liverpool inaipa pigo lingine baada ya wiki iliyopita kuichapa 4-0 katika mchezo wa Ligi Kuu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment