Kiungo Alex Oxlade-Chamberlain akitabasamu na jezi ya klabu yake mpya, Liverpool baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 35 kutoka kwa wapinzani wa Ligi Kuu ya England, Arsenal. Nyota huyo wa England sasa atakuwa analipwa mshahara wa Pauni 120,000 kwa wiki na kwa usajili huu Liverpool inaipa pigo lingine baada ya wiki iliyopita kuichapa 4-0 katika mchezo wa Ligi Kuu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Precious' Lisandro Martinez is told to 'f****g' grow up by Nicky Butt
after Man United star hit back at his and Paul Scholes' 'shameful' comments
as club legends send warning to Argentina defender
-
Scholes and Butt joked ahead of United's derby win that Martinez's battle
with Erling Haaland was such a mismatch that the Man City striker would
pick up t...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment