• HABARI MPYA

    Tuesday, August 29, 2017

    ABDI BANDA NDANI YA NDEGE ANAKUJA DAR KUJIUNGA NA STARS

    Beki wa Baroka FC ya Afrika Kusini, Abdi Banda akiwa kwenye ndege wakati anatoka Johannesburg, kurejea nyumbani Tanzania kujiunga na timu yake ya taifa, Taifa Stars kwa ajili ya mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Botswana Jumamosi Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ABDI BANDA NDANI YA NDEGE ANAKUJA DAR KUJIUNGA NA STARS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top