Wachezaji wa Liverpool wakimpongeza mwenzao, Sadio Mane baada ya kufunga bao la pili dakika ya 40 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Arsenal leo Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Roberto Firmino dakika ya 17, Mohamed 'Mo' Salah dakika ya 57 na Daniel Sturridge dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Precious' Lisandro Martinez is told to 'f****g' grow up by Nicky Butt
after Man United star hit back at his and Paul Scholes' 'shameful' comments
as club legends send warning to Argentina defender
-
Scholes and Butt joked ahead of United's derby win that Martinez's battle
with Erling Haaland was such a mismatch that the Man City striker would
pick up t...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment