• HABARI MPYA

    Sunday, August 27, 2017

    CHELSEA YAWASHA MOTO ENGLAND, YAIPIGA 2-0 EVERTON

    Alvaro Morata akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 40 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Everton jioni ya leo Uwanja wa Stamford Bridge, London, kufuatia Mspaniola mwenzake, kiungo Cesc Fabregas kufunga bao la kwanza dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YAWASHA MOTO ENGLAND, YAIPIGA 2-0 EVERTON Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top