• HABARI MPYA

    Thursday, August 24, 2017

    RONALDO AFUNGA LA USHINDI, REAL YAIPIGA 2-1 FIORENTINA

    Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 33 ikiilaza 2-1 Fiorentina ya Italia jana Uwanja wa Santiago Bernabeu katika mchezo wa kuwania Kombe la Santiago Bernabeu. Bao la kwanza la Real lilifungwa na Borja Mayoral aliyemalizia krosi ya Ronaldo dakika ya saba wakati la Fiorentina lilifungwa na Jordan Veretout dakika ya nne. Ikumbukwe Ronaldo yupo kwenye kifungo cha mechi tano za mashindano baada ya kumsukuma refa kwenye mechi ya Super Cup ya Hispania dhidi ya Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AFUNGA LA USHINDI, REAL YAIPIGA 2-1 FIORENTINA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top