• HABARI MPYA

    Tuesday, August 01, 2017

    'PROFESHENO' DANI LYANGA ANASINDIKIZWA NA WIFE KURUDI KAZINI OMAN

    Mshambuliaji Mtanzania, Daniel Lyanga (kulia) akisindikizwa na mke wake, Tecla Jonas Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam kwa safari ya Oman kurejea kujiunga na timu yake, Fanja FC kufuatia mapumziko ya baada ya msimu uliopita 
    Daniel Lyanga ni mchezaji wa zamani wa Coastal Union ya Tanga na Simba ya Dar es Salaam
    Daniel Lyanga pia amewahi kuchezea DC Motemba Pembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) 
    Daniel Lyanga akiwa kwenye ndege kwa tayari kwa safari leo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: 'PROFESHENO' DANI LYANGA ANASINDIKIZWA NA WIFE KURUDI KAZINI OMAN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top