• HABARI MPYA

    Wednesday, August 23, 2017

    KIKAO CHA WACHEZAJI WA ZAMANI LEO UWANJA WA TAIFA

    Aliyekuwa mgombea Urais katika uchaguzi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Ally Mayay akitoa shukrani zake kwa wachezaji wenzake wa zamani nchini katika kikao kilichofanyika leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
    Mchezaji wa zamani wa Tukuyu Stars, Simba na Yanga, Suleiman Mathew (kushoto) akiwa na kiungo wa zamani wa Yanga, Thabit Badru Bushako 
    Kutoka kushoto Ngade Chabanga, Abubakar Mtiro na Juma Pinto
    Wachezaji wa zamani wa Simba, Spear Mbwembwe (kulia) na George Masatu (kushoto)
    Wachezaji wa zamani wa Simba, Mashaka Ayoub (kushoto) na Said Maulid 'SMG' (kulia) aliyecheza na Yanga pia
    Wachezaji wa zamani wa Yanga, Manyika Peter (kushoto) na Shaaban Ramadhan aliyecheza na Simba pia 
    Kiongozi Mkuu wa umoja huo unaojulikana na kama Galactico, Muddy Sebene (kushoto) akiwa na kiungo wa zamani wa Yanga, Mohammed 'Rishard' Adolph 
    Wachezaji wa zamani wa Simba, Madaraka Selemani (kulia), Duwa Said (kushoto) na George Lucas 'Gazza' nyuma yao
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIKAO CHA WACHEZAJI WA ZAMANI LEO UWANJA WA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top