• HABARI MPYA

    Saturday, August 26, 2017

    MAYWEATHER NA MCGREGOR WAKUTWA NA UZITO SAWA

    Mabondia Floyd Mayweather na Conor McGregor wakitambiana baada ya kupimwa uzito jana ukumbi wa  T-Mobile Arena mjini Las Vegas, Marekani na wote kukutwa na kilogramu 69.8 kuelekea pambano lao la uzito wa Super-Welter usiku wa leo ukumbi wa MGM Grand Arena, ambalo kwa Afrika Mashariki tutalishuhudia asubuhi ya Jumapili PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAYWEATHER NA MCGREGOR WAKUTWA NA UZITO SAWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top