Raheem Sterling akiifungia bao la ushindi Manchester City dakika ya 96 wakiwalaza 2-1 wenyeji, AFC Bournemouth Uwanja wa Vitality katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo kabla ya kutolewa kwa kadi nyekundu kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili ya njano. Bournemouth walitangulia kwa bao la Charlie Daniels dakika ya 13 kabla ya mshambuliaji Mbrazil, Gabriel Jesus kuisawazishia City dakika ya 21 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The FUFA Drum Final 2023: Tickets out, Fans to purchase using MoMo Pay
-
MTN Uganda—a sponsor of the FUFA Drum have confirmed that the match tickets
for the FUFA Drum Final between Busoga and Lango on Saturday 23rd March
2024 ...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment