Raheem Sterling akiifungia bao la ushindi Manchester City dakika ya 96 wakiwalaza 2-1 wenyeji, AFC Bournemouth Uwanja wa Vitality katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo kabla ya kutolewa kwa kadi nyekundu kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili ya njano. Bournemouth walitangulia kwa bao la Charlie Daniels dakika ya 13 kabla ya mshambuliaji Mbrazil, Gabriel Jesus kuisawazishia City dakika ya 21 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment