Gylfi Sigurdsson akishangilia na Aaron Lennon baada ya kuifungia bao zuri la kusawazisha Everton dakika ya 46 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Hajduk Split Uwanja wa Poljud jana mjini Split nchini Croatia. Bao la Hajduk Split lilifungwa na Josip Radosevic dakika ya 43 na kwa matokeo hayo, Everton inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-1 baada ya wiki iliyopita kushinda 2-0 nyumbani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Precious' Lisandro Martinez is told to 'f****g' grow up by Nicky Butt
after Man United star hit back at his and Paul Scholes' 'shameful' comments
as club legends send warning to Argentina defender
-
Scholes and Butt joked ahead of United's derby win that Martinez's battle
with Erling Haaland was such a mismatch that the Man City striker would
pick up t...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment