• HABARI MPYA

    Saturday, July 15, 2017

    SALAH ALIPOFUNGUA AKAUNTI YAKE YA MABAO LIVERPOOL

    Mohamed Salah akiifungia timu yake mpya, Liverpool bao la kusawazisha dakika ya 45 katika sare ya 1-1 na timu ya Daraja la kwanza, Wigan Athletic jana Uwanja wa DW mjini Wigan akicheza mechi yake ya kwanza kabisa baada ya kusajiliwa kwa dau la rekodi, Pauni Milioni 37 kutoka AS Roma ya Italia. Alex Gilbey alianza kuifungia Wigan dakika ya 21 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SALAH ALIPOFUNGUA AKAUNTI YAKE YA MABAO LIVERPOOL Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top