• HABARI MPYA

    Sunday, July 30, 2017

    MAN CITY ILIVYOENDELEZA WIMBI LA USHINDI JANA...

    Mousa Dembele wa Tottenham Hotspur (kushoto) akimdhibiti Raheem Sterling wa Manchester City jana Uwanja wa Nissan mjini Nashville, Tennessee katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa. Man City ilishinda 3-0, mabao ya John Stones dakika ya 10, Raheem Sterling dakika ya 72 na Brahim Diaz dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY ILIVYOENDELEZA WIMBI LA USHINDI JANA... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top