Mohamed Salah akisujudu kumshukuru Mungu baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu dakika ya 61 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji Hertha Berlin leo Uwanja wa Olympia Berlin mjini Berlin, Ujerumani. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Dominic Solanke dakika ya 15 na Georginio Wijnaldum dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bruno Fernandes gets emotional after a reporter praises his dedication to
Man United... as his tireless performance against Liverpool leads the Red
Devils to a triumphant 4-3 win in the FA Cup
-
Fernandes got visibly emotional when praised by a reporter for his
dedication to Man United after their dramatic 4-3 FA Cup quarter-final win
over Liverpool .
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment