Mohamed Salah akisujudu kumshukuru Mungu baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu dakika ya 61 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji Hertha Berlin leo Uwanja wa Olympia Berlin mjini Berlin, Ujerumani. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Dominic Solanke dakika ya 15 na Georginio Wijnaldum dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eric Comrie makes 34 saves, Winnipeg Jets top Buffalo Sabres 4-1
-
WINNIPEG — Eric Comrie made 34 saves and Kyle Connor scored his
team-leading 15th goal of the season as the Winnipeg Jets downed the
Buffalo Sabres 4-1 on ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment