Mohamed Salah akisujudu kumshukuru Mungu baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu dakika ya 61 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji Hertha Berlin leo Uwanja wa Olympia Berlin mjini Berlin, Ujerumani. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Dominic Solanke dakika ya 15 na Georginio Wijnaldum dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy club gets blasted over Mad Monday costumes showing player dressed as
a schoolgirl being sexually assaulted by an AFL star
-
A senior women's football player has walked away from her club after a Mad
Monday stunt involving the men's team.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment