• HABARI MPYA

    Sunday, July 30, 2017

    PSG WAICHAPA MONACO 2-1 NA KUBEBA SUPER CUP YA UFARANSA

    Wachezaji wa PSG wakifurahia na taji lao la Super Cup ya Ufaransa baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Monaco usiku wa jana Uwanja wa Grand Stade de Tanger mjini Tanger. Mabao ya PSG yalifungwa na Dani Alves dakika ya 51 na Adrien Rabiot dakika ya 63, baada ya Djibril Sidibe kuifungia bao la kuongoza Monaco dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PSG WAICHAPA MONACO 2-1 NA KUBEBA SUPER CUP YA UFARANSA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top