• HABARI MPYA

    Thursday, July 27, 2017

    CHELSEA YAFIKISHA 20 WA KUTOA KWA MKOPO, BADO KAMA 15 HIVI

    IDADI ya wachezaji wa Chelsea waliotolewa kwa mkopo imefika 20 baada ya mabeki, Tomas Kalas na Michael Hector kujiunga na timu za Fulham na Hull City za Ligi Daraja la Kwanza, maarufu kama Championship.
    Kalas atacheza kwa msimu wa pili kwa mkopo Fulham baada ya kusaini mkataba mpya wa miaka minne Chelsea, wakati Hector atafanya kazi chini ya kocha wa Chui, Mrusi Leonid Slutsky, rafiki wa Roman Abramovich Uwanja wa KCOM.
    Biashara ya mkopo haitarajiwi kuwa imefikia kikomo Chelsea na wachezai 15 zaidi wanatarajiwa kutolewa kwa mkopo kabla ya dirisha hili la usajili kufungwa.

    Michael Hector amekuwa mchezaji wa 20 kutolewa kwa mkopo Chelsea, baada ya leo kujiunga na Hull City  PICHA ZAIDI GONGA HAPA 


    WACHEZAJI WALIOTOLEWA KWA MKOPO CHELSEA 

    MAKIPA
    Nathan Baxter (Woking)
    Bradley Collins (Forest Green Rovers)
    MABEKI
    Ola Aina (Hull City)
    Fankaty Dabo (Vitesse Arnhem)
    Todd Kane (Groningen)
    Jay Dasilva (Charlton Athletic)
    Kurt Zouma (Stoke City)
    Tomas Kalas (Fulham)
    Michael Hector (Hull) 
    VIUNGO 
    Charlie Colkett (Vitesse Arnhem) 
    Mason Mount (Vitesse)
    Ruben Loftus-Cheek (Crystal Palace)
    Kasey Palmer (Huddersfield Town)
    Danilo Pantic (Partizan Belgrade)
    Lucas Piazon (Fulham)
    Josimar Quintero (Rostov)
    Marco van Ginkel (PSV)
    WASHAMBULIAJI
    Tammy Abraham (Swansea City)
    Izzy Brown (Brighton & Hove Albion)
    Ike Ugbo (Barnsley)

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YAFIKISHA 20 WA KUTOA KWA MKOPO, BADO KAMA 15 HIVI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top