Mshambuliaji mpya wa Manchester United, Romelu Lukaku aliyesajiliwa kwa dau la Pauni Milioni 75 kutoka Everton akisaini jezi ya shabiki wa timu hiyo baada ya kuwasili mjini Manchester leo wakitokea Marekani ambako walikwenda kuweka kambi ya kujiandaa na msimu mpya pamoja na kucheza mechi za kujipima nguvu za mashindano ya Kombe la Mabingwa wa Kimataifa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment