Mshambuliaji mpya wa Manchester United, Romelu Lukaku aliyesajiliwa kwa dau la Pauni Milioni 75 kutoka Everton akisaini jezi ya shabiki wa timu hiyo baada ya kuwasili mjini Manchester leo wakitokea Marekani ambako walikwenda kuweka kambi ya kujiandaa na msimu mpya pamoja na kucheza mechi za kujipima nguvu za mashindano ya Kombe la Mabingwa wa Kimataifa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dodgers Star Shohei Ohtani's Signature Logo for New Balance Revealed in
Video
-
Los Angeles Dodgers superstar Shohei Ohtani's official logo with New
Balance was announced in a video on Monday. The video was posted on X by
the MLB's…
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment