Kiungo wa kimataifa wa Rwanda, Haruna Niyonzima (wa pili kulia) akiwa na wachezaji wa Tanzania anaocheza nao Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kipa Said Mohammed Nduda (kulia), beki Hassan Kessy na winga Simon Msuva kushoto kwake baada ya kukutana mjini Kigali, Rwanda Jumamosi, timu za taifa za nchi hizo zilimenyana na kutoa sare ya 0-0.
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment