• HABARI MPYA

    Wednesday, July 26, 2017

    NIYONZIMA ALIPOKUTANA NA MSUVA, KESSY NA NDUDA KIGALI

    Kiungo wa kimataifa wa Rwanda, Haruna Niyonzima (wa pili kulia) akiwa na wachezaji wa Tanzania anaocheza nao Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kipa Said Mohammed Nduda (kulia), beki Hassan Kessy na winga Simon Msuva kushoto kwake baada ya kukutana mjini Kigali, Rwanda Jumamosi, timu za taifa za nchi hizo zilimenyana na kutoa sare ya 0-0. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NIYONZIMA ALIPOKUTANA NA MSUVA, KESSY NA NDUDA KIGALI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top