Kiungo wa kimataifa wa Rwanda, Haruna Niyonzima (wa pili kulia) akiwa na wachezaji wa Tanzania anaocheza nao Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kipa Said Mohammed Nduda (kulia), beki Hassan Kessy na winga Simon Msuva kushoto kwake baada ya kukutana mjini Kigali, Rwanda Jumamosi, timu za taifa za nchi hizo zilimenyana na kutoa sare ya 0-0.
Cat steals the spotlight during music exam with surprise stage entrance
-
A university music exam took an unexpected turn in eastern China when a
curious cat wandered onto the stage mid-performance. The moment unfolded on
January...
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment