Marouane Fellaini akienda juu kuifungia bao la kwanza Manchester United dakika ya 44 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Valerenga Uwanja wa Ullevaal mjini Oslo, Norway. Mabao mengine ya United yamefungwa na Mbelgiji mwenzake, Romelu Lukaku dakika ya 47 na Scott McTominay dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cat steals the spotlight during music exam with surprise stage entrance
-
A university music exam took an unexpected turn in eastern China when a
curious cat wandered onto the stage mid-performance. The moment unfolded on
January...
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment