Kaimu Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia (kulia) akimkabidhi mchezaji wa timu ya taifa, Said Mohammed Mduda tuzo yake ya kuwa Kipa Bora wa michuano ya COSAFA iliyomalizika wiki iliyopita nchini Afrika Kusini. Mduda aliyekabidhiwa tuzo jana mjini Mwanza jana, alitajwa kipa bora wa michuano akiwa tayari amekwisharejea nyumbani baada ya kuisaidia Taifa Stars kushika nafasi ya tatu kwenye michuano hiyo
JC Latham NFL Draft 2024: Scouting Report for Tennessee Titans OT
-
HEIGHT: 6'6" WEIGHT: 342 HAND: 11" ARM: 35⅛" WINGSPAN: 84⅜" 40-YARD DASH:
N/A 3-CONE: N/A SHUTTLE: N/A VERTICAL: N/A BROAD: N/A POSITIVES — Broad
frame wit...
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment