Kaimu Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia (kulia) akimkabidhi mchezaji wa timu ya taifa, Said Mohammed Mduda tuzo yake ya kuwa Kipa Bora wa michuano ya COSAFA iliyomalizika wiki iliyopita nchini Afrika Kusini. Mduda aliyekabidhiwa tuzo jana mjini Mwanza jana, alitajwa kipa bora wa michuano akiwa tayari amekwisharejea nyumbani baada ya kuisaidia Taifa Stars kushika nafasi ya tatu kwenye michuano hiyo
Napoli 2-3 Chelsea: Blues qualify for Champions League last-16 with win -
as Liam Rosenior proves he is no fool and eases any concerns over his
appointment, writes KIERAN GILL
-
KIERAN GILL AT THE STADIO DIEGO ARMANDO MARADONA: It was to the visitors'
credit how they silenced the locals overall, even if they did make hard
work of t...
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment