Mshambuliaji mpya wa Arsenal, Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao dakika ya 62 katika kipigo cha 2-1 kutoka kwa Sevilla kwenye mchezo wa Kombe la Emirates, Uwanja wa Emirates mjini London. Mabao ya Sevilla yamefungwa na Joaquin Correa dakika ya 49 na Steven N'Zonzi dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australia withdraw from Afghanistan T20 series
-
Australia withdraw from their men's T20 series against Afghanistan in
August because of continued restrictions on women and girls under the
ruling Taliban ...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment