• HABARI MPYA

    Thursday, July 27, 2017

    AZAM FC NA LIPULI KATIKA PICHA JANA SAMORA

    Mshambuliaji Mghana wa Azam FC, Yahya Mohammed akimtoka beki wa Lipuli katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Samora, Iringa. Azam ilishinda 4-0 
    Chpukizi wa Azam FC, Yahya Zayed akiwatoka mabeki wa Lipuli jana  
    Mshambuliaji mpya aliyesajiliwa kutoka Toto Africans, Waziri Junior akimtoka beki wa Lipuli
    Beki wa Azam, David Mwantika akiwania mpira dhidi ya mchezaji wa Lipuli
    Kikosi cha Azam FC kilichoanza jana Uwanja wa Samora
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC NA LIPULI KATIKA PICHA JANA SAMORA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top