• HABARI MPYA

    Thursday, July 27, 2017

    MSUVA ALIVYOPAA JANA KWENDA KUKAMILISHA MIPANGO MOROCCO

    Winga wa Yanga, Simon Msuva ameposti picha hii kwenye Instagram akisema; "Kwaheri" wakati anaondoka Dar es Salaam jana Morocco kukamilisha mipango ya kujiunga na Difaa Hassan El Jadida ya Ligi Kuu nchini humo. Hiyo ndiyo timu ambayo imemsajili winga mwingine wa Tanzania, Ramadhani Singano 'Messi' kutoka Azam FC
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MSUVA ALIVYOPAA JANA KWENDA KUKAMILISHA MIPANGO MOROCCO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top