• HABARI MPYA

    Monday, July 24, 2017

    YANGA WALIVYOJIFUA LEO 'SHAMBA LA BIBI'...HODI HODI MSIMU MPYA

    Mshambuliaji wa Yanga, Mrundi Amissi Tambwe akimiliki mpira kwenye mazoezi ya timu hiyo leo asubuhi Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara
    Amissi Tambwe akionyesha uimara wake katika umiliki wa mpira
    Mshambuliaji mpya, Ibrahim Hajib akikimbilia mpira leo mazoezini
    Beki wa kulia, Juma Abdul akitafuta maarifa ya kumpita kiungo mpya, Pius Buswita mazoezini leo
    Wachezaji wa Yanga wakikimbia kwa pamoja leo mazoezini Uwanja wa Uhuru
    Beki Kevin Yondan akimsalimia kocha Mzambia, George Lwandamina (katikati) 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA WALIVYOJIFUA LEO 'SHAMBA LA BIBI'...HODI HODI MSIMU MPYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top