SINGANO ATOKEA BENCHI TIMU YAKE YACHAPWA 3-0 MOROCCO
Winga wa kimataifa wa Tanzania, Ramadhani Singano 'Messi' (kushoto) juzi alitokea benchi kuichezea timu yake mpya, Difaa Hassan El Jadida ya Morocco ikifungwa 3-0 nyumbani na Olympic Club de Safi (OCS) katika mchezo wa kirafiki
Kikosi kilichoanza hapa Messi aliyejiunga na timu hiyo kutoka Azam FC ya Dar es Salaam hayupo
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment