• HABARI MPYA

    Thursday, July 27, 2017

    SINGANO ATOKEA BENCHI TIMU YAKE YACHAPWA 3-0 MOROCCO

    Winga wa kimataifa wa Tanzania, Ramadhani Singano 'Messi' (kushoto) juzi alitokea benchi kuichezea timu yake mpya, Difaa Hassan El Jadida ya Morocco ikifungwa 3-0 nyumbani na Olympic Club de Safi (OCS) katika mchezo wa kirafiki
    Kikosi kilichoanza hapa Messi aliyejiunga na timu hiyo kutoka Azam FC ya Dar es Salaam hayupo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SINGANO ATOKEA BENCHI TIMU YAKE YACHAPWA 3-0 MOROCCO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top