• HABARI MPYA

    Saturday, July 29, 2017

    PERISIC AWAANGAMIZA CHELSEA SINGAPORE, INTER YAUA 2-1

    Winga anayewaniwa na Manchester United, Ivan Perisic akipiga shuti kuifungia bao la pili Inter Milan dakika ya 53 ikiilaza 2-1 Chelsea Uwanja wa Taifa wa Singapore katika Kombe la Mabingwa wa KImataifa leo. Bao lingine la Inter Milan limefungwa na Stevan Jovetic dakika ya 45 na ushei, wakati la The Blues lilifungwa na Geoffrey Kondogbia aliyejifunga dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PERISIC AWAANGAMIZA CHELSEA SINGAPORE, INTER YAUA 2-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top