• HABARI MPYA

    Monday, July 31, 2017

    FUNDI WA MPIRA RAPHAEL DAUDI LOTH MAZOEZINI MOROGORO LEO

    Kiungo mpya wa Yanga SC, Raphael Daudi Loth akinyoosha msuli mazoezini kwenye kambi yake timu yake kujiandaa na msimu mpya mjini Morogoro
    Mshambuliaji Mzimbabwe, Donald Dombo Ngoma akiwa mazoezini leo mjini Morogoro
    Kutoka kulia Juma Mahadhi, Ramadhani Kabwili, Raphael Daudi, Andrew Vincent 'Dante' na Ibrahim Hajib 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: FUNDI WA MPIRA RAPHAEL DAUDI LOTH MAZOEZINI MOROGORO LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top