Marcus Rashford akimtungua kipa wa LA Galaxy, Jon Kempin kufunga moja ya mabao yake mawili ya dakika za pili na 20 katika ushindi wa 5-2 asubuhi hii Uwanja wa Stubhub Center, mjini Carson, California, Marekani katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na msimu mpya. Mabao mengine ya United yamefungwa na Marouane Fellaini dakika ya 26, Henrikh Mkhitaryan dakika ya 67 na Anthony Martial dakika ya 72, wakati ya wenyeji yamefungwa na Giovani dos Santos dakika ya 79 na David Romney dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Paul Scholes tears into Arsenal, claiming they'd be the WORST side to win
the Premier League and only ONE star would get in team of the season
-
The Gunners are four points clear at the top of the table, with their lead
cut at the weekend following their defeat by Manchester United, with rivals
Manc...
55 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment