Marcus Rashford akimtungua kipa wa LA Galaxy, Jon Kempin kufunga moja ya mabao yake mawili ya dakika za pili na 20 katika ushindi wa 5-2 asubuhi hii Uwanja wa Stubhub Center, mjini Carson, California, Marekani katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na msimu mpya. Mabao mengine ya United yamefungwa na Marouane Fellaini dakika ya 26, Henrikh Mkhitaryan dakika ya 67 na Anthony Martial dakika ya 72, wakati ya wenyeji yamefungwa na Giovani dos Santos dakika ya 79 na David Romney dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
David Warner is DROPPED by IPL team as Ricky Ponting makes brutal call to
cut Australian veteran amid woeful run of form
-
A day after Marcus Stoinis belted an IPL century to bolster his World Cup
credentials veteran opener David Warner was dropped by his team amid
flagging ret...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment