• HABARI MPYA

    Sunday, July 16, 2017

    MECHI YA KWANZA TU, LUKAKU ACHANIWA JEZI MAN UNITED

    Mshambuliaji mpya aliyesajiliwa kwa Pauni Milioni 75 Manchester United, Romelu Lukaku (kulia) akimpongeza mchezaji mwenzake mpya, Henrikh Mkhitaryan (kushoto) baada ya kufunga bao la nne katika ushindi wa 5-2 dhidi ya LA Galaxy asubuhi hii Uwanja wa Stubhub Center mjini Carson, California, Marekani. Lukaku alitokea benchi katika mechi hiyo ya kwanza kuichezea Man United kwenda kuchukua nafasi ya Marcus Rashford dakika ya 46 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MECHI YA KWANZA TU, LUKAKU ACHANIWA JEZI MAN UNITED Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top