Mshambuliaji mpya aliyesajiliwa kwa Pauni Milioni 75 Manchester United, Romelu Lukaku (kulia) akimpongeza mchezaji mwenzake mpya, Henrikh Mkhitaryan (kushoto) baada ya kufunga bao la nne katika ushindi wa 5-2 dhidi ya LA Galaxy asubuhi hii Uwanja wa Stubhub Center mjini Carson, California, Marekani. Lukaku alitokea benchi katika mechi hiyo ya kwanza kuichezea Man United kwenda kuchukua nafasi ya Marcus Rashford dakika ya 46 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Dinosaur mentality' - Antonio on Keane podcast criticism
-
West Ham striker Antonio responds to Roy Keane's criticism of current
players who speak on podcasts, calling it a 'dinosaur mentality'
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment