Wachezaji wa England wakishangilia na taji lao la ubingwa wa Ulaya kwa vijana chini ya umri wa miaka 19, baada ya kuifunga Ureno katika fainali jana Uwanja wa Tengiz Burjanadze mjini Gori, Georgia. Simba Wadogo walianza kufungaa dakika ya 50 kupitia kwa Easah Suliman, kabla ya Dujon Sterling kujifunga dakika ya 56 kuwapa Ureno bao la kusawazisha na Lukas Nmecha kufunga la ushindi dakika ya 68 katika mchezo ambao kiungo Tayo Edun alionyeshwa kadi ya pili ya njano na kutolewa kwa kadi nyekundu zikiwa zimebaki dakika nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Leicester Women sack manager Willie Kirk following investigation into his
alleged relationship with a female player at the club
-
He missed their two league defeats by Tottenham and Brighton , and he was
also absent for the Foxes' 2-0 win against Liverpool that secured them a
place in...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment