• HABARI MPYA

    Sunday, July 16, 2017

    ENGLAND 'WAFALME' WA SOKA YA VIJANA ULAYA, WAIBUTUA URENO 2-1

    Wachezaji wa England wakishangilia na taji lao la ubingwa wa Ulaya kwa vijana chini ya umri wa miaka 19, baada ya kuifunga Ureno katika fainali jana Uwanja wa Tengiz Burjanadze mjini Gori, GeorgiaSimba Wadogo walianza kufungaa dakika ya 50 kupitia kwa Easah Suliman, kabla ya Dujon Sterling kujifunga dakika ya 56 kuwapa Ureno bao la kusawazisha na Lukas Nmecha kufunga la ushindi dakika ya 68 katika mchezo ambao kiungo Tayo Edun alionyeshwa kadi ya pili ya njano na kutolewa kwa kadi nyekundu zikiwa zimebaki dakika nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ENGLAND 'WAFALME' WA SOKA YA VIJANA ULAYA, WAIBUTUA URENO 2-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top