Kiungo wa kimataifa wa Misri, Mohamed Elneny akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la tatu dakika ya 44 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Western Sydney Wanderers Uwanja wa ANZ mjini Sydney. Mabao mengine ya Washika Bunduki hao wa London, yamefungwa na Olivier Giroud dakika ya 33 na Aaron Ramsey dakika ya 37, wakati la wenyeji limefungwa na Steven Lustica dakika ya 57 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Enzo Fernandez shares a photo from the hospital bed after successful
surgery... as the Chelsea star reveals his groin injury left him in
'intense' pain for 'six months'
-
In a post on his Instagram, Fernandez revealed that the issue had been
plaguing him for several months, with the discomfort increasing in recent
weeks.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment