Kiungo wa kimataifa wa Misri, Mohamed Elneny akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la tatu dakika ya 44 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Western Sydney Wanderers Uwanja wa ANZ mjini Sydney. Mabao mengine ya Washika Bunduki hao wa London, yamefungwa na Olivier Giroud dakika ya 33 na Aaron Ramsey dakika ya 37, wakati la wenyeji limefungwa na Steven Lustica dakika ya 57 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Don't blame Raheem Sterling for picking up his fat pay cheque, the way
splash-the-cash Chelsea have bullied him has been degrading and a total
disgrace, writes IAN HERBERT
-
The maniacal outlay of Clearlake Capital has included arguably the most
disgraceful waste of one club's money on a single player, in the case of
Raheem Ste...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment