• HABARI MPYA

    Saturday, July 15, 2017

    MAN CITY YASAINI KIUNGO WA VASCO DA GAMA PAUNI MILIONI 10

    Kiungo Mbrazil, Douglas Luiz (kushoto) akisaini mkataba wa miaka mitano kujiunga na Manchester City kutoka Vasco Da Gama ya kwao kwa ada ya uhamisho ya Pauni Milioni 10.7, siku moja tu baada ya klabu hiyo kumsajili beki wa Tottenham Hotspur, Muingereza Kyle Walker kwa dau la Pauni Milioni 54 miaka mitano pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY YASAINI KIUNGO WA VASCO DA GAMA PAUNI MILIONI 10 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top