• HABARI MPYA

    Saturday, August 20, 2016

    WANYAMA AIPIGA BAO PEKEE SPURS YAILAZA 1-0 CRYSTAL PALACE

    Kiungo wa kimataifa wa Kenya, Victor Wanyama akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao pekee klabu yake mpya, Tottenham Hotspur katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Crystal Palace Uwanja wa White Hart Lane leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WANYAMA AIPIGA BAO PEKEE SPURS YAILAZA 1-0 CRYSTAL PALACE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top