Kiungo wa Simba SC, Jonas Mkude (kushoto) akitafuta maarifa ya kumpita mchezaji wa AFC Leopard ya Kenya katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba SC ilishinda 4-0 mchezo huo uliohitimisha kilele cha sherehe za miaka 80 ya kuzaliwa kwake, maarufu kama Simba Day
Mshambuliaji Ibrahim Hajib (kushoto) akimhadaa beki wa Leopard
Kiungo Mussa Ndusha akinyoosha mguu kuuzuzia mpira usimfikie mchezaji wa Leopad
Winga wa Simba SC, Shizza Kichuya akimtoka beki wa Leopard
Mussa Ndusha akimgeuza mchezaji wa Leopard
Janier Beseala Bokungu akijivuta kupiga mpira wa adhabu
Beki Mohamed Hussein 'Tshabalala' akitoa pasi dhidi ya mchezaji wa Leopard
Mshambuliaji Frederick Blagnon akimtoka beki wa Leopard
Vikosi vikiingia uwanjani kwa ajili ya mechi ya jana
Benchi la Ufundi la Simba kutoka kushoto Kocha Mkuu, Joseph Omog, Msaidizi Jackson Mayanja, Meneja Abbas Hussein na kocha wa makipa, Adam Abdallah
Mshambuliaji Ibrahim Hajib (kushoto) akimhadaa beki wa Leopard
0 comments:
Post a Comment