Washangiliaji wa kikundi cha Muchacho Group, maarufu kama Wana Kidedea wakiteremka kwenye Bandari ndogo ya Dar es Salaam kwenda kupanda boti mwaka 1992 kwa safari ya Zanzibar kuishangilia Simba SC kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati. Simba ilifanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano hiyo kwa kuwafunga mahasimu, Yanga kwenye fainali kwa penalti 5-4 baada ya sare ya 1-1 ndani ya dakika 120 Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Wassell returns as Scotland chase third place
-
Scotland make three changes for their final Six Nations match away to
Ireland as they chase a best finish since 2005.
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment