Washangiliaji wa kikundi cha Muchacho Group, maarufu kama Wana Kidedea wakiteremka kwenye Bandari ndogo ya Dar es Salaam kwenda kupanda boti mwaka 1992 kwa safari ya Zanzibar kuishangilia Simba SC kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati. Simba ilifanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano hiyo kwa kuwafunga mahasimu, Yanga kwenye fainali kwa penalti 5-4 baada ya sare ya 1-1 ndani ya dakika 120 Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Portsmouth ball boy, 16, suffers hearing loss and is left 'shaken up' after
flashbang detonates during derby clash with Southampton - as his mother
opens up on impact of incident
-
TARA ANSON-WALSH: A 16-year-old Portsmouth ball boy has been left unable to
hear in one ear after a missile thrown from the stands exploded nearby
during S...
50 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment