• HABARI MPYA

    Monday, August 08, 2016

    MMILIKI MPYA MTARAJIWA WA SIMBA SC ALIVYOJIACHIA NA KIPENSI LEO TAIFA

    Bilionea Mohamed 'Mo' Dewji akiwapungia mkono mashabiki wa Simba SC Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kabla ya mchezo wa kirafiki dhidi ya AFC Leopard ya Kenya jioni ya leo. Simba ilishinda 4-0 mchezo huo uliohitimisha sherehe za miaka 80 ya klabu, maarufu kama Simba Day 
    Rais wa Simba SC, Ecans Aveva (kulia) akiwa meza kuu na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda
    Wadau wakubwa wa Simba, Kassim Dewji (kulia) na Crescentius Magori (kushoto)
    Waziri wa zamani wa Michezo, Profesa Juma Kapuya (kushoto) alikuwepo pia kuisapoti timu yake, Simba SC 
    Kutoka kulia Iddi Kajuna, Salum Muchacho na Magori
    Mo Dewji akizungumza na beki wa zamani wa Simba SC, Talib Hilal (kushoto) 
    Wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, Said Tuliy (kulia) na Salim Abdallah (kushoto)
    Mzee Kilomoni na Dalali pia walikuwepo pia leo Uwanja wa Taifa
    Kama kawaida Nima katika siti yake ya siku zote alikuwepo Taifa leo
    Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili Zacharia Hans Poppe naye alikuwepo Taifa leo 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MMILIKI MPYA MTARAJIWA WA SIMBA SC ALIVYOJIACHIA NA KIPENSI LEO TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top