• HABARI MPYA

    Sunday, August 21, 2016

    MKANGWA NA SABEBE WALIKUWA PACHA HATARI TIMU YA VIJANA

    Washambuliaji wa timu ya vijana ya Tanzania chini ya umri wa miaka 20, Ngorongoro Heroes, Abubakar Mkangwa (kushoto) na Abdallah Saleh Sabebe (kulia) wakipambana kwenye lango la vijana wenzao wa Ghana katika mchezo wa kufuzu Fainali za Afrika uliofanyika mwaka 1998 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru, Dar es Salaam). 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MKANGWA NA SABEBE WALIKUWA PACHA HATARI TIMU YA VIJANA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top