Mfungaji wa mabao mawili ya Brazil, Gabriel Barbosa katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Denmark kwenye mchezo wa Kundi A Olimpiki soka Rio 2016, akimrukia Nahodha wake, Neymar baada ya kufunga bao la kwanza usiku wa kuamkia leo mjini Salvador. Mabao mengine ya Brazil yalifungwa na Gabriel Jesus na Luan na sasa wenyeji hao watamenyana na Colombia katika Robo Fainali, wakati Denmark itakutana na Nigeria PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City vs Chelsea - FA Cup semi-final: Live score, team news and updates
as Pep Guardiola's side look to bounce back after Champions League exit -
PLUS action from the Premier League's 3pm kick-offs
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as Manchester City take on Chelsea in the FA Cup semi-final at Wembley
Stadium.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment