Mfungaji wa mabao mawili ya Brazil, Gabriel Barbosa katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Denmark kwenye mchezo wa Kundi A Olimpiki soka Rio 2016, akimrukia Nahodha wake, Neymar baada ya kufunga bao la kwanza usiku wa kuamkia leo mjini Salvador. Mabao mengine ya Brazil yalifungwa na Gabriel Jesus na Luan na sasa wenyeji hao watamenyana na Colombia katika Robo Fainali, wakati Denmark itakutana na Nigeria PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFC championship: 5 plays that led the Seahawks past the Rams in thrilling
battle to reach Super Bowl
-
The Seahawks beat the Rams 31-27 in the NFC title game to secure their
first trip to the Super Bowl in more than a decade.
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment