Kiungo wa Yanga Veterani, Ally Yussuf 'Tigana' (kushoto) akigombea mpira na mchezaji wa Azam Veterani jana kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam katika mchezo wa Nusu Fainali wa Kombe la Azam Fresco. Yanga ilishinda 2-1 na sasa itakutana na Mbagala Kuu katika fainali, ambayo imeitoa TFF Kuu
Mfungaji wa mabao yote mawili ya Yanga jana, Gulla Joshua akimtoka mchezaji wa Azam
Beki wa Yanga, Willy Mtendamema (kushoto) akimdhibiti mchezaji wa Azam
Mabeki, Bakari Malima wa Yanga (kulia) na Ramadhani Wasso wa Azam wakiwania mpira wa juu
Beki Eustace Bajwala (kulia) akimshuhudia mchezaji mwenzake, Aziz Hunter akipatiwa huduma ya kwanza uwanjani baada ya kuumia
Kiungo wa Yanga, Thabit Badru Bushako katikati ya wachezaji wa Azam
Mshambuliaji wa Yanga, Mohammed Hussein 'MMachinga' akimtoka mchezaji wa Azam
Nahodbha wa Azam, Abdulkarim Amin 'Popat' alijitahidi kuopambana jana lakini wapi
Kikosi cha kwanza cha Yanga jana
Kikosi cha Azam jana
Miami Heat fans are SLAMMED by Kendrick Perkins for leaving 'too many'
empty seats for crucial play-in game against the Chicago Bulls... as they
are labelled 'not a great fanbase'
-
During ESPN's broadcast, the retired NBA center expressed his frustration
with the amount of empty seats at Kaseya Center in what could have been the
Heat'...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment