Beki wa Yanga SC, Juma Abdul (kulia) akienda chini baada ya kukwatuliwa na beki wa Ndanda FC |
Beki wa Ndanda FC, Salvatory Ntebe akiondoka na mpira mbele ya mshambuliaji wa Yanga SC, Amissi Tambwe |
Winga wa Yanga SC, Deus Kaseke akiwatoka wachezaji wa Ndanda FC jana Uwanja wa Taifa |
Winga wa Yanga SC, Simon Msuva (kushoto) akijaribu kumpita beki wa Ndanda FC |
Beki wa Yanga SC, Vincent Bossou (kushoto) akiudhibiti mpira baada ya mshambuliaji wa Ndanda FC, Atupele Green kuanguka. Kulia ni kiungo wa Yanga SC, Thabani Kamusoko |
0 comments:
Post a Comment