Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akikimbia kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Real Madrid katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Sporting Gijon kwenye mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Karim Benzema mawili na Gareth Bale moja, wakati la Gijon limefungwa na Isma Lopez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alonso to miss media day after birth of first child
-
Fernando Alonso is to miss Thursday's media day at the Japanese Grand Prix
because he is traveling to the race late following the birth of his first
child.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment